Pages

Wednesday, February 16, 2011

WAZIRI MKUU AKUTANA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA LEO

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na Ofisa wa Banki ya Dunia nchini, R. Mukami Kariuki na Mkurugenzi wa benki hiyo nchini, John Mclntire (kushoto) kabla ya mazungumzo yao kwenye makazi ya Waziri Mkuu Dodoma leo,  Wapili kushoto ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Paniel Lymo. (Picha kwa hisani michuzi blog).

No comments:

Post a Comment