Pages

Monday, April 4, 2011

Lazima Kitaeleweka tu Machinga Complex!

Mmoja wa mafundi wakitengeneza meza za biashara nje ya jengo la Machinga Complex, Ilala Dar es Salaam, kwa ajili ya wafanyabiashara ndogo ndogo 'Wamachinga' wanaotakiwa kuhamia katika jengo lhilo. Kutokana na uhaba wa wateja 'Wamachinga' wamekuwa wakisuasua kuhamia katika jengo hilo (Picha na Peter Twite)

No comments:

Post a Comment