Pages

Sunday, July 10, 2011

Pergamon yajidhatiti elimu ya mashine za rejesta za kodi

Operesheni Maneja wa Kampuni ya Pergamon Tz Limited, David Nyaga (kulia), akitoa maelekezo kwa mwandishi wa habari Mbinga Lusimbi (kushoto), kuhusu matumizi sahihi ya mashine za kielektroniki za rejesta ya kodi ambazo kampuni yake imepewa dhamana ya kusambaza na kuuza mashine hizo na Mamlaka ya Mapato Nchini TRA. (Picha na Mwandishi Wetu).

No comments:

Post a Comment